资讯
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema matumizi ya mfumo wa kielektroniki wa Baraza la Mawaziri utasaidia kuboresha utendaji kazi na kuleta ufanisi zaidi katika kuwahudumia wananchi. Amesema kuwa ...
Wakuu wa polisi kutoka nchi sita za Afrika Mashariki na Kati wameahidi kushirikiana kukabiliana na uhalifu wa mtandaoni ambao unaonekana kushika kasi katika ukanda huu. Kauli hiyo imetolewa na ...
Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Ardhini kutoka LATRA kwa kushirikiana na Shirika la Asasi za Kiraia nchini (FCS), wamesaini mkataba wa makubaliano ya miaka mitatu ya programu ...
Dit domein kan te koop zijn!
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dk. Pindi Chana amekielekeza Chuo cha Viwanda vya Misitu Moshi (FITI) kujitangaza ili kupata soko la kuuza bidhaa za misitu zinazozalishwa na chuo hicho. Ametoa ...
President Dr. Samia Suluhu Hassan. Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuhudhuria mkutano wa tisa wa Wakuu wa Nchi na ...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, ametoa wito kwa sekta zote nchini kusoma na kusimamia Sera Mpya ya Taifa ya Biashara na kuifanyia kazi. Wito huo umetolewa leo, Julai 30, ...
Naibu Gavana wa BoT (Sera za Uchumi na Fedha), Dk. Yamungu Kayandabila. Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetangaza kuendelea kwa ukomo wa riba ya asilimia 6 kati yake ...
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu, Jacobs Mwambegele, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Semina kwa waandishi hao kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga ...
Wizara ya Viwanda na Biashara imefanya mazungumzo na wawekezaji kutoka nchini China na kuwaonyesha fursa zinazopatikana ili waweze kuwekeza nchini ili ziweze kuchochea uwekezaji, ajira na kuongeza ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果