资讯
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imesema imeridhishwa na uwekezaji wa miundombinu ya elimu inayoendelea kutekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika Mikoa ya Tanga ...
Na Mwandishi Wetu Wananchi Jijini Arusha wamevutiwa na bidhaa mbalimbali za Nishati Safi ya Kupikia na wameipongeza Serikali kwa kuona umuhimu wa kufikisha bidhaa hizo katika Maonesho yanayoendelea ...
Asasi za Kiraia (AZAKi) zimewasilisha maoni ya ziada ya kuhakiki rasimu ya Dira Ya Taifa ya Maendeleo 2050 chini ya uratibu wa Foundation for Civil Society (FCS) kwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya ...
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Jumuiya ya Mamlaka za Usimamizi wa Usafiri Majini Barani Afrika zimetakiwa kushirikiana na kuungana ili kuboresha usalama wa usafiri majini na kuchochea maendeleo ...
Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, akizungumza katika zoezi la kuhitimisha ukaguzi wa uzingatiaji wa sheria katika usimamizi wa utumishi wa umma leo ...
Wakuu wa polisi kutoka nchi sita za Afrika Mashariki na Kati wameahidi kushirikiana kukabiliana na uhalifu wa mtandaoni ambao unaonekana kushika kasi katika ukanda huu.
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana kutumia fursa ya uwekezaji unaofanya na Serikali katika sekta ya TEHAMA ili kukuza uchumi binafsi na Taifa kwa ujumla.
Serikali imeendelea kutoa msisitizo kwa Vyama vya Ushirika na kuvitaka kujenga misingi imara ya ushirika ili kumlinda mkulima badala ya kumnyonya na kumdhulumu haki zake. Hayo yamesemwa na Waziri wa ...
Wachezaji wa timu ya Simba, viongozi na benchi la ufundi wamekutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Septemba 25,2024 baada ya kuwasili visiwani ...
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuhudhuria mkutano wa tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, ametoa wito kwa sekta zote nchini kusoma na kusimamia Sera Mpya ya Taifa ya Biashara na kuifanyia kazi. Wito huo umetolewa leo, Julai 30, ...
SERIKALI kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) imetoa kiasi cha Sh bilioni 2.42 kwa ajili ya ujenzi wa minara 17 kwenye maeneo yenye changamoto za mawasiliano mkoani Geita.
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果